Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

OBAMA KUKUTANA NA PAPA FRANCIS MARCH, 2014.

                                      

                           
PAPA_NEW_6a010.jpg
Rais wa Marekani Barack Obama atakutana na Papa Francis huko Vatikan wakati wa ziara yake ya wiki moja Ulaya iliyopangwa kufanyika mwishoni mwa Machi.
White House inasema rais Obama anatarajia kuzungumza na Papa Francis kuhusu mtizamo wao unaolingana katika kupambana na umasikini na tofauti ya kipato inayoendelea kuongezeka.
Mkutano huo umepangwa kufanyika Machi 27 .Wakati akiwa Roma rais Obama anapanga kukutana na rais wa Italia Giorgio Napolitano na waziri mkuu Enrico Letta.
Kiongozi huyo wa Marekani ataanza ziara yake ya Ulaya huko The Hague Uholanzi ambako atashiriki katika mkutano wa usalama wa nyuklia ulioandaliwa na serikali ya Uholanzi.
Chanzo, voaswahili.com
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top