BASI Likiwa limeanguka na maiti bado zilikuwa hazijatolewa chini |
Kamishna msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi,Renatha Mzinga akisimamia zoezi la kuinua basi hilo kwa ajili ya utoaji wa Maiti 9 za ajali hiyo.
Baadhi ya abiria ambao walikuwemo katika basi hilo wakiwa wametoka bila kujeruhiwa
Post a Comment