Kila
siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia
udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa
mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi.
Lengo
la millardayo.com ni kuhakikisha kila Mtanzania anaweza kusoma stori
kubwa za Magazeti kabla ya saa mbili kamili asubuhi ambapo kwa mwaka
2014 lengo ni kuhakikisha Magazeti yanakuepo hapa millardayo.com hata
kabla ya saa moja asubuhi.
Unaweza kujiunga na familia ya Millard Ayo kwenye facebook, twitter na instagram kwa jina la Millard Ayo ili
kuwa karibu zaidi ya habari zote zinazowekwa hapa ambazo huwa link
zinawekwa kwenye mitandao hii ya kijamii muda mfupi tu baada ya habari
kupandishwa hapa
Post a Comment