Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TAARIFA ZAIDI JUU YA AJALI ILIYOUA WANAFUNZI WANE NA KUJERUHI 47 WAKIKIMBIA MCHAKAMCHAKA, MTWARA

 Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara, Zelothe Stephine, akiwa ndandi ya  wodi namba moja katika Hospitali ya mkoa ya Ligula, alipokwenda kuwaona majeruhi wa ajali  ya  wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mustafa Sabodo, iliyotokea leo katika barabara ya Mtwara Lindi wakati wanafunzi wa shule hiyo wakikimbia mchakamchaka asubuhi. Kushoto Kaimu Katibu tawala wa Mkoa Smythies Pangisa. Katika ajali hiyo iliyohusisha gari ndogo aina ya Masdz Benzi lenye namba za usajili T174 AEB imesababisha vifo vya wanafunzi wanne na wengine 47 kujeruhiwa
 Mmoja wa majeruhi akipelekwa wodini baada ya kupokewa katika hospitali hiyo

 Kamanda wa Polisi, Zelothe Steven akizungumzia ajali hiyo
Kamanda Zelote akikagua gari lililohusika katika ajali hiyo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top