Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WASTARA AFUMWA AKIIFAKAMIA MIBUYU ... WATU WABAKI NA MAULIZO MENGI

Na Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameibua maswali baada ya kuonekana akifakamia ubuyu kwa wingi huku wengi wakidhani labda amenasa! Tehe!

Wastara Juma.
Mkali huyo wa hisia awapo mbele ya kamera, alinaswa na kamera yetu hivi karibuni akiwa lokesheni na wasanii wengine ambao nao pia walikula lakini si kwa sana kama yeye.
Risasi Mchanganyiko lilimuweka mtu kati ambapo alisema: “Jamani... mimi napenda tu ubuyu kama ambavyo mtu mwingine anaweza kupenda biskuti au pipi. Kwangu mimi ni kiburudisho tu, hakuna cha zaidi.”

                GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top