Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

LINAH AANIKA KILA KITU JUU YA YEYE KUTOKA NA KIGOGO KIMAPENZI ... SOMA ALIVYOTIRIRIKA

Na Musa Mateja
STAA wa Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’ amepangua skendo inayomtafuna ya kutoka na kigogo mmoja wa wizara nyeti ya Serikali ya Tanzania na kupachikwa ujauzito.

Estelinah Sanga ‘Linah’.

Akizungumza na mwandishi wetu, Januari 17, mwaka huu, Linah alisema shutuma hizo zimemwandama wakati siyo za kweli na hana uhusiano wa kimapenzi na kigogo yeyote wa serikalini.
“Watu wamenizushia mambo kibao kuhusiana na ujauzito wakati sina na wala sijawahi kuwa kwenye uhusiano na kigogo yeyote wa serikalini, hata mtu anayetajwa sijawahi kumuona zaidi ya kumsikia tu.
“Naomba nieleweke kuwa nina mchumba wangu na anajulikana hadi kwetu,” alisema Linah.

                GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top