Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ARSENAL YARUDI KILELENI



Picture of Ox Chamberlain, Arsenal v Crystal Palace

Ikiwa Emirates,Arsenal imefanikiwa kuipiga Crystal Palce 2 - 0.

Kukiwa na mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha Arsene Wenger, Arsenal ilitawala mchezo dhidi ya Palace wanaocheza kwa ushirikiano mkubwa sana.

Bao la kwanza lilipachikwa nyavuni na kiungo Mwingereza Ox Chamberline alikuwa akicheza katikati leo kwa mpira mzuri uliomshinda kipa kimo.


Na alipachika goli la pili pia kwa pasi nzuri ya Santi Carzola.


Ushindi huo unaiweka Arsenal kileleni kwa muda huku ikingojea matokeo ya mchezo utakaochezwa kesho juma tatu kati ya Chelsea na Manchester City.
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top