Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Baada ya ukimya wa kutosikika Redioni, Dina Marios amepost hii picha

Screen Shot 2014-02-17 at 1.37.48 PM
Ni muda kidogo mtangazaji Dina Marious hajasikika kwenye Leo Tena ya Clouds FM ambayo amekua akiifanya, kama hukuwahi kupata jibu ni kwamba alikua mjamzito ambapo kwa sasa ameshajifungua na kushea hiyo picha ya mtoto wao, yeye na mtangazaji mwenzie Reuben Ndege maarufu Nchakalih.

Screen Shot 2014-02-17 at 1.37.57 PMScreen Shot 2014-02-17 at 1.46.00 PM
Screen Shot 2014-02-17 at 1.48.39 PM
Hongereni Dina na Reuben, TZA inawatakia maisha mema na yenye mafanikio.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana