Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

CHENGE ATAJWA UENYEKITI "USPIKA" BUNGE LA KATIBA

 

Mbunge wa Bariadi Mashariki, Andrew ChengeWAKATI Bunge la Katiba linatarajia kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wake, Mbunge wa Bariadi Mashariki, Andrew Chenge, ametajwa kuwa kada anayefaa kuwa mwenyekiti wa Bunge hilo Maalumu la Katiba, Tanzania Daima limebaini.
Mkakati wa kumuingiza Chenge katika Bunge hilo unadaiwa kuwa na lengo la kuhakikisha anasimamia vilivyo hoja na msimamo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka muundo wa serikali mbili ulioboreshwa.
Ingawa kazi ya uchukuaji wa fomu za kuwania nafasi hiyo inayomezewa mate na baadhi ya viogogo wa CCM, yakiwemo makundi ya urais mwaka 2015, jina la Chenge linaonekana kung’ara na limekuwa likipigiwa chapuo na makada wazito wa chama hicho tawala.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top