Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP)
Liberatus Sabas akitoa elimu ya Ulinzi Shirikishi kwa viongozi na
wananchi wa Tarafa ya Endabashi iliyopo wilayani Karatu. (Picha na
Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)
Diwani
wa kata ya Buger Bw. Emmanuel Tlaqho akitoa shukrani zake kwa Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Arusha (SACP) Liberatus Sabas mara baada ya kueleza
uanzishaji wa kitengo cha Dawati la Jinsia na Watoto katika eneo hilo.
(Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP)
Liberatus Sabas katikati akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na
baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Endabashi mara baada ya kumaliza kutoa
elimu ya ulinzi shirikishi kwa wakazi hao. (Picha na Rashid Nchimbi wa
Jeshi la Polisi Arusha)
on Wednesday, February 19, 2014
Post a Comment