Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ENDABASHI WAFURAHIA UANZISHWAJI WA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO

 

GEDSC DIGITAL CAMERAKamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas akitoa elimu ya Ulinzi Shirikishi kwa viongozi na wananchi wa Tarafa ya Endabashi iliyopo wilayani Karatu. (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)GEDSC DIGITAL CAMERADiwani wa kata ya Buger Bw. Emmanuel Tlaqho akitoa shukrani zake kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (SACP) Liberatus Sabas mara baada ya kueleza uanzishaji wa kitengo cha Dawati la Jinsia na Watoto katika eneo hilo. (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)GEDSC DIGITAL CAMERAKamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas katikati akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Endabashi mara baada ya kumaliza kutoa elimu ya ulinzi shirikishi kwa wakazi hao. (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top