Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Huu ndio msamaha aliouomba mchezaji Giroud wa Arsenal sababu ya hii picha.

Screen Shot 2014-02-17 at 2.08.46 PM
Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal Olivier Giroud ameomba msamaha hadharani kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kufuatia kugundulika kwa usaliti kwenye ndoa yake.
Kwa takribani wiki moja sasa hivi kumekuwa na tetesi kwamba Mfaransa huya alimsaliti mkewe kwa kutoka na mwanamitindo Celia Kay likiwa ni tukio lililotokea usiku wa kuamkia mechi ya Arsenal vs Crystal Palace February 2 2014 hotelini London.

article-2560650-1B8C421200000578-858_634x612
Gazeti la Sunday Sun lilikuwa la kwanza kuripoti taarifa hizo lakini Giroud alisema ni uongo, lakini jana gazeti hilo likatoa ushahidi wa picha ambayo inasemekana ilipigwa na Kay, ikiwa inamuonyesha Giroud akiwa kavaa nguo ya ndani wakiwa bado chumbani.
Screen Shot 2014-02-17 at 2.09.00 PM
Mshambuliaji huyu wa kifaransa ambaye alikanusha taarifa hizo mwanzoni, hakuwa na jinsi tena zaidi ya kukiri kutokea kwa tukio hilo na kuamua kuomba radhi kupitia page yake ya twitter.
Screen Shot 2014-02-17 at 2.03.28 PMScreen Shot 2014-02-17 at 2.04.41 PM

 

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top