Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA SHS.BILIONI 121





Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni limepitisha bajeti ya  sh.bilioni 121 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya  maendeleo ya halmashauri kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015.
Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mheshimiwa  Yusuph Mwenda alisema fedha hizo zimetokana na makusanyo ya vyanzo vya mapato , pesa kutoka ruzuku serikali kuu,Tamisemi,pesa za makusanyo ya  ndani ya Halmashauri .Kwa sasa Halmashauri ina uwezo wa kujiendesha  kwa asilimia 30 tofauti na hapo nyuma ambapo ilikuwa ikijiendesha kwa  asilimia 20 tu.
Bajeti ya mwaka 2014/2015 ina lengo la  kutekeleza mipango ya maendeleo na kuwaondolea umaskini wakazi wa  kinondoni na kuboresha maisha yao.Imetolewa na Manispaa ya Kinondoni.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top