Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mgombea wa Chadema Kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga mkoani Iringa Grace Tendega Achukua Fomu Rasmi

 

 Picha juu na Chini ni  Mgombea wa Chadema Kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga mkoani Iringa Grace Tendega akiongozwa na pikipiki na wapenzi na wafuasi mbalimbali wa chadema kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo leo
Mgombea wa Chadema Kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga mkoani Iringa Grace Tendega Akipokea fomu kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Iringa,Pedenciana Kisaka leo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top