Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MSANII WA BONGO FLEVA AAMUA KUONDOKA KIMATAIFA

 


Baada ya ngoma yake ya Kabinti Spesho ya Staa wa Bongo Fleva,Dully Sykes kufungiwa na serikali kutopingwa kwenye vituo vya televisheni,kutokana na kutokuwa na maadili ya Kitanzania,amesema amekata tamaa ya kuwa msanii wa Kimataifa kutokanana kitendo hicho kumvunja moyo.Kwa mujibu wa msanii huyo amesema hiyo imetokana na serikali kupitia mamlaka ya mawasiliano TCRA kutoa onyo kwa vituo vya televisheni zisiipige video hiyo kutokana na kuvunja maadili hasa maandishi yaliyopo kwenye t-shirt aliyovaa msanii Diamond Platinumz, pili ni ile swimming costume aliyovaa video queen.
Video nyingine zilizopigwa stop ni pamoja na Uzuri Wako ya Jux, na Nimevurugwa ya Snura
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top