Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NEW HABARI WAMPONGEZA KIBANDA KWA KUSHINDA KESI

 


 Mhariri Mtendaji wa New Habari 2006 Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African, Absalom Kibanda, akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni hiyo, hawapo pichani katika hafla fupi ya kumpongeza kwa ushindi wake katika kesi iliyokuwa ikimkabili iliyodaiwa kuwa ni uchochezi. Halfa hiyo ilifanyika katika ofisi za Kampuni hiyo, zilizopo Sinza Kijiweni, juzi.
Absalom Kibanda (kushoto) akifurahia jambo kutoka kwa MC, Sidi Mgumia, ambaye ni mwandishi wa Gazeti la The African (katikati yao) ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa New Habari, Hussein Bashe.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni hiyo, Hassan Bumbuli, Jonathan Tito, Kambi Mbwana, Grace Hoka na Mareges Paul wakishiriki. 
Kila mmoja macho mbelee, Hongera bwana Abasalom Kibanda..
Waandishi wa habari za michezo wa New Habari, (kulia) ni Zaituni Kibwana na Jenifer Ullembo, wakipozi...
 Muda wa burudani ukafika, Kwaito kwa kwenda mbele.
Mhariri wa Michezo wa Gazeti la Mtanzania, akiwaongoza wenzake kusebeneka katika sherehe hiyo iliyofanyika juzi. Nyuma ya Mwani Nyangassa ni Esther Mbusi, Mwenye miwani ni baba shughuli, Absalom Kibanda. Picha zote kwa hisani ya Kambi Mbwana wa Handeni kwetu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top