Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Balozi wa Japan Akutana na Makamo wa Kwanza wa Rais


 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan Norio Mitsuya, alipofika nyumbani kwake Mbweni kwa ajili ya mazungumzo.
  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan Norio Mitsuya, akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan Norio Mitsuya baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan Norio Mitsuya baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni. (PICHA na Salmin Said OMKR)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top