Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SIMBA YAIRARUA JKT ORJORO MABAO 4-0

 





Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo (shoto), akiruka kwanja la beki wa JKT Oljoro, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Simba ilishinda mabao 4-0.



 Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akishangilia na Messi, baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza.




 Wachezaji wa Oljoro JKT wakipanga mikakati ya kuwatoka wachezaji wa Simba.



 Ramadhan Singano 'Mess' akimtoka beki wa Oljoro JKT, Aziz Yusuf.



 Mashabiki wa Simba.



 Amis tabwe akitafuta mbinu za kumtoka, Nurdin Mohamed



 Golikipa wa Oljoro JKT, Mohamed Ali akishangaa gooooooooo!!!!!



 Amis Tambwe akishangilia moja kati ya mabao aliyoifungia timu yake kati ya matatu.



 Leo tumewashika!!!!!!!




 Wachezaji wa Oljoro JKT wakijipoza kwa maji.



 Golikipa wa Oljoro JKT, Mohamed Ali akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe.



 Ramadhan Singano akichuana na Aziz Yusuf. 



Aziz Yusuf akimiliki mpira huku aAmis Tambwe akijaribu kuleta rabsha.
 
Imechotwa: Sufiani Mafoto blog
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top