Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi Mkoa wa Lindi, Ndugu Ali Mtopa mara tu baada ya kuwasili
kwenye Kata ya Likunja iliyoko katika wilaya ya Ruangwa ambako
zilifanyika sherehe za miaka 37 ya CCM Kimkoa ambapo Mama Salma alikuwa
mgeni rasmi tarehe 2.2.2014.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akielekezwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi
wa Mkoa wa Lindi,Ndugu Adeline Gefi sehemu ya kupita ili kupokea
maandamano ya wana CCM na wananchi wa mkoa huo wakati wa kilele cha
sherehe za miaka 37 ya kuzaliwa chama hicho zilizofanyika katika Kata ya
Likunja, wilayani Ruangwa tarehe 2.2.2014. Wa kwanza kulia ni Dr. Maua
Daftari, Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa wa Lindi.
Mke
wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Mama Salma
Kikwete akiwapungia wananchi waliofika kwenye sherehe za kilele za CCM
kutimiza miaka 37 zilizofanyika kimkoa katika Kata ya Likunja, wilayani
Ruangwa tarehe 2.2.2013
Mke
wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma
Kikwete akipokea maandamano ya wana CCM na wananchi wa Mkoa wa Lindi
wakati wa sherehe za kilele cha kutimiza miaka 37 ya Chama Cha
Mapinduzi mkoani humo zilizofanyika katika kata ya Likunja iliyoko
katika wilaya ya Ruangwa tarehe 2.2.2014.
Mke
wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma
Kikwete akipokea maandamano ya wana CCM na wananchi wa Mkoa wa Lindi
wakati wa sherehe za kilele cha kutimiza miaka 37 ya Chama Cha
Mapinduzi mkoani humo zilizofanyika katika kata ya Likunja iliyoko
katika wilaya ya Ruangwa tarehe 2.2.2014.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akizindua shina la wakereketwa la Jumuia ya
Wanawake Tanzania (UWT) katika Kata ya Likunja wakati wa kilele ya
sherehe ya miaka 37 ya CCM zilizofanyika katika kata hiyo tarehe
2.2.2014. Mara baada ya kuzindua tawi hilo Mama Salma akapokea shada la
maua kutoka kwa mmoja wa viongozi wa UWT wa Kata hiyo na picha ya mwisho
ikiwaonyesha akina mama wajumbe wa Tawi hilo wakishangilia baada ya
uzinduzi huo.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea zawadi kutoka Bibi Mwanahawa Ali,
mjumbe wa UWT wa Kata ya Likunja kwa niaba ya wananchi wa wilaya ya
Ruangwa wakati wa kilele cha sherehe za CCM kutimiza miaka 37.
Ngoma
za utamaduni za makabila mbalimbali ya mkoa wa Lindi zilishamiri
katika kilele cha sherehe za miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi
zilizofanyika Mkoani Lindi katika Kata ya Likunja huko wilayani
Ruangwa. Hata muziki wa kizazi kipya nao uliporomoshwa katika kilele
hicho. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa Mgeni Rasmi kwenye
sherehe hizo
Ngoma
za utamaduni za makabila mbalimbali ya mkoa wa Lindi zilishamiri
katika kilele cha sherehe za miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi
zilizofanyika Mkoani Lindi katika Kata ya Likunja huko wilayani
Ruangwa. Hata muziki wa kizazi kipya nao uliporomoshwa katika kilele
hicho. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa Mgeni Rasmi kwenye
sherehe hizo
Ngoma
za utamaduni za makabila mbalimbali ya mkoa wa Lindi zilishamiri
katika kilele cha sherehe za miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi
zilizofanyika Mkoani Lindi katika Kata ya Likunja huko wilayani
Ruangwa. Hata muziki wa kizazi kipya nao uliporomoshwa katika kilele
hicho. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa Mgeni Rasmi kwenye
sherehe hizo
Ngoma
za utamaduni za makabila mbalimbali ya mkoa wa Lindi zilishamiri
katika kilele cha sherehe za miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi
zilizofanyika Mkoani Lindi katika Kata ya Likunja huko wilayani
Ruangwa. Hata muziki wa kizazi kipya nao uliporomoshwa katika kilele
hicho. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa Mgeni Rasmi kwenye
sherehe hizo
Ngoma
za utamaduni za makabila mbalimbali ya mkoa wa Lindi zilishamiri
katika kilele cha sherehe za miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi
zilizofanyika Mkoani Lindi katika Kata ya Likunja huko wilayani
Ruangwa. Hata muziki wa kizazi kipya nao uliporomoshwa katika kilele
hicho. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa Mgeni Rasmi kwenye
sherehe hizo
Mgeni
Rasmi katika sherehe za CCM kutimiza miaka 37 katika Mkoa wa Lindi,
Mama Salma Kikwete akikata keki maalum ya sherehe na kuwalisha wana CCM
waliozaliwa mwaka 1977, ambapo Chama Cha Mapinduzi kilizaliwa.
Mmoja wa wana CCM akilishwa keki
Mgeni
Rasmi katika kilele cha sherehe ya kutimiza miaka 37 ya Chama Cha
Mapinduzi, Mkoani Lindi, Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wana
CCM na wananchi wa Mkoa wa Lindi katika sherehe zilizofanyika katika
Kata ya Likunja, wilayani Ruangwa tarehe 2.2.2014.
Mgeni
Rasmi katika kilele cha sherehe ya kutimiza miaka 37 ya Chama Cha
Mapinduzi, Mkoani Lindi, Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wana
CCM na wananchi wa Mkoa wa Lindi katika sherehe zilizofanyika katika
Kata ya Likunja, wilayani Ruangwa tarehe 2.2.2014.
Baadhi
ya wana CCM na wananchi wa Mkoa wa Lindi wakisikiliza hotuba ya mgeni
rasmi, Mama Salma Kikwete wakati wa kilele cha sherehe za kutimiza miaka
37 ya chama hicho zilizofanyika katika kata ya Likunja, wilayani
Ruangwa tarehe 2.2.2014.
Baadhi
ya wana CCM na wananchi wa Mkoa wa Lindi wakisikiliza hotuba ya mgeni
rasmi, Mama Salma Kikwete wakati wa kilele cha sherehe za kutimiza miaka
37 ya chama hicho zilizofanyika katika kata ya Likunja, wilayani
Ruangwa tarehe 2.2.2014.
Baadhi
ya wana CCM na wananchi wa Mkoa wa Lindi wakisikiliza hotuba ya mgeni
rasmi, Mama Salma Kikwete wakati wa kilele cha sherehe za kutimiza miaka
37 ya chama hicho zilizofanyika katika kata ya Likunja, wilayani
Ruangwa tarehe 2.2.2014. Picha zote na John Lukuwi





















Post a Comment