Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WEMA, KAJALA, AUNT WAFUNIKA TRIPLE A JIJINI ARUSHA

 

Kajala, Wema, Aunt na Zamaradi wakiwa katika pozi tofauti.
....Wakiwa pamoja na Mirror tayari kwa ajili ya kwenda kwenye Show, klabu ya Triple A.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Wema Sepetu, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja tayari kwa ajili ya kwenda ukumbini.
Kajala akipanda stejini.
Wema akipanda jukwaani huku akicheza.
...Wakiwa katika picha ya pamoja.
...Wakicheza na Mirror.
Wema katika pozi.
Msanii Dyana Kimaro katika pozi.
Wema Sepetu pamoja na Meneja wake Martin Kadinda muda mfupi baada ya kuwasili jijini Arusha.
Wema Sepetu, Zamaradi na Martin Kadinda katika picha ya pozi.
Kajala Masanja na Aunt Ezekiel wakiwa wamepozi hotelini.
MASTAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Kajala Masanja pamoja na wasanii wa Bongo Fleva Chid Benz na Miraji Hussein ‘Mirror’ hivi karibuni walitinga katika jiji la Arusha kwa ajili ya kumtambulisha msanii Mirror kwenye klabu ya Triple A.
(PICHA NA IMELDA MTEMA / GPL, ARUSHA)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top