Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Dkt. Shein azindua mradi wa Umeme pemba

 


IMG_8850 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Umeme katika Kijiji cha Ukunjwi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.[Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
IMG_8887  
Baadhi ya  wananchi wa Kijiji cha Ukunjwi na Vitongoji jirani na wafanyakazi wa Shirika la Umeme Zanzibar wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza baada ya kuzindua rasmi Mradi wa Umeme katika Kijiji  hicho kiliopo Mkoa wa Kaskazii Pemba leo. [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]IMG_8890 Wanafunzi wa Skuli ya Ukunjwi Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi baada ya kuzindua rasmi Nishati hiyo leo, [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
 IMG_8922
Naibu Katibu wa  Mkuu wa Wizara ya Ardhi,Maji na Nishati Mustafa Aboud Jumbe Mwinyi,akisoma Ripoti ya Wizara wakati wa  uzinduzi rasmi wa  Mradi wa Umeme katika Kijiji cha Ukunjwi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo, [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]IMG_8976
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ukunjwi na Vijiji Jirani wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mradi wa Umeme uliofanyika leo Kijijini hapo Mkoa wa Kaskazini Pemba. [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top