
Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI) katika Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili jana (Jumamosi) kuwajulia hali wanahabari wawili –
Ndugu Salum Mkambala wa Channel Ten (juu) na chini Ndugu Margaret
Chambili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Post a Comment