Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA KUWASILISHA RASIMU YA KATIBA KESHO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2hH8NdjR-TDy8Qbwr-BW1pHF3MB2PcURR8wA9vbP8GpyA-NK_zjXdQSmXpIeC_5uVBt2P4cSHMIesSk_k-bsBKOc9e4pkn52m9r28FXjQmfQ7lL95iVOvMvLfxvBDV7ZJXwTrlys3Qd1T/s1600/unnameddg.jpg
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akijiandaa kuwasilisha rasimu ya Katiba Mpya. Hata hivyo zoezi hilo liliahirishwa hadi kesho wakati baadhi ya wajumbe waliposimama na kutaka  baadhi ya kanuni walizojiwekea zifuatwe, baada ya kuonekana hazikufuatwa. 

Muafaka ulifikiwa baadaye na rasimu hiyo itawasilishwa kesho kwa Jaji Warioba kufanya hivyo kwa masaa manne badala ya moja ama mawili yaliyopendekezwa awali. 



Picha na Deusdedit Moshi
wa Globu ya Jamii, Dodoma
 
Imechotwa: Michuzi blog
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top