Mke
wa Waziri Mkuu Tunu Pinda akimshukuru Mwalimu wa semina ya wanandoa
Mchungaji, Peter Mitinimgi baada ya kumkabidhi machapisho na dvd za
mafundisho ya kudumisha ndoa kulia kwa Tunu Pinda ni Mwenyekiti wa
umoja wa akina mama wa New Life in Christ mkoa wa Dar es Salam Akunda
Nko anayefuatia ni mke wa Naibu waziri wa Fedha Naima Malima . Mama
Tunu Pinda alikuwa mgeni rasmi katika semina ya wana ndoa iliyo andaliwa
na New Life in Christ mkoa wa Dar. (Picha na Chris Mfinanga).
Mama
Tunu Pinda akiangalia maonyesho ya majarida yanayo elekeza jinsi ya
kudumisha ndoa. Kulia kwake ni Naima Malima na kushoto kwake ni
Mwenyekiti wa New life in Christ mkoa wa Dar Akunda Nko.
Mmoja wanandoa Bi. Amani akifanyiwa mahojiano na vyombo vya habari.
Mgeni rasmi Mama Tunu Pinda kwenye picha ya pamoja na uongozi wa New life in Christ.
Post a Comment