Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATUKIO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA MARA BAADA YA KUHAIRISHWA TENA DODOMA LEO.


Mjumbe wa Bunge maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Monduli Edward Lowassa (Kushoto) akimweleza jambo mjumbe mwenzie Bw. Saleh Pamba baada ya Bunge hilo kuahirishwa, leo Mjini Dodoma
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Mansoor Hiran akiongea na wanahabari baada ya Semina ya ya uundwaji wa kanuni zitakazoongoza bunge maalum la katiba kuahirishwa leo mjini Dodoma.
Baadhi wa wajumbe maalum wa katiba wakibadilishana Mawazo Nje ya ukumbi wa Bunge baada ya Semina ya ya uundwaji wa kanuni zitakazoongoza bunge maalum la katiba kuahirishwa leo mjini Dodoma.
Posted By Blogger to THE GOVERNMENT OFFICIAL BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top