Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washindi
walionyakua tuzo mbalimbali wakati wa hafla ya kutunuku Tuzo ya Rais ya
Mzalishaji Bora wa mwaka 2013 iliyofanyika katika Hoteli ya Serena
jijini Dar es Salaam jana usiku. Picha na Freddy Maro
Waziri Mkuu Ateta Na Mwenyekiti Wa Bodi Ya Citibank
50 minutes ago
Post a Comment