Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RAIS KIKWETE KUHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA JUMATANO

jk_taifaNa Magreth Kinabo- Maelezo 

 Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia  Bunge Maalum la Katiba  Machi 19,mwaka huu. 
Kauli  hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa bunge hilo Samwel Sitta  mjini Dodoma baada ya kusitisha shughuli za kuapisha wajumbe wa bunge hilo. 
Mwenyekiti huyo alisema  Rais Kikwete atalihutubi bunge hilo mara baada ya  Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiiko ya Katiba Jaji Joseph Warioba kuwasilisha  rasimu ya pili  ya Katiba mpya  Machi 17,mwaka huu majira ya saa10.00 jioni.
Aidha  Sitta aliongeza kuwa  wajume wabunge hilo ambao hawajaapishwa wataendelea kuapishwa  Machi 17,mwaka huu mara baada ya kuanza kwa kikao cha  bunge hilo kuanza saa 3:00 asubuhi.
 
Alifafanua kuwa  wajumbe wa bunge hilo wanatarajiwa kupewa semina ya juu ya mabadiliko ya katiba mpya kutoka ujumbe maalum  nchini Kenya  Machi 8,mwaka huu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top