Mshambuliaji wa timu ya Simba Ramadhan Singano (kulia) akiwania mpira na kipa wa Ruvu Shooting,  Abdallah
 Rashid, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye 
Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo. Katika mchezo huo Simba wameibuka na 
ushindi wa mabao 3-2.
 Beki
 wa timu ya Simba Issa Rashid (katikati) akiwania mpira na mabeki wa 
timu ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa
 kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
 Winga
 wa Simba, Haruna Chanongo (kulia) akiwania mpira na beki wa Ruvu 
Shooting katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye 
Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
 Mshambuliaji
 wa Simba Amri Kiemba, akijaribu kufunga bao katika mchezo wa Ligi kuu 
Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
 Mashabiki wa Simba wakishangilia moja ya bao la simba.
Kocha Mkuu wa Simba Logarusic, akiwaelekeza wachezaji wake kama ilivyokawaida yake.

 


 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Post a Comment