Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA AFUNGUA MRADI MKUBWA WA MAJI KIBAIGWA MKOANI DODOMA MACHI 17,2014

 

????????
???????????????????????????????VIONGOZI wa serikali mkoa wa Dodoma wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo, Dk Rehema Nchimbi wakiwa wamejipanga tayari kumpokea Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa kutembelea mradi wa visima virefu vya maji eneo la Kibaigwa, wilaya ya Kongwa, mkoani Dodoma.
Mradi huo wa maji una thamani ya zaidi ya shilling billion 2.3.
Ufunguzi wa mradi huo ni sehemu ya maadhimisho ya 26 ya Wiki ya Maji ambapo kitaifa yanafanyika Dodoma tarehe 16-22/03/2014.  Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk Jakaya Kikwete. 
 
????????
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi mara baada ya kuwasili eneo la mradi wa visima vya maji, Kibaigwa.
????????
Injinia Emmanuel Mwakabole kutoka Mamlaka ya Maji Dodoma (DUWASA) akitoa maelezo ya mradi kwa waziri mkuu na kusema visima viwili vyenye kina cha meta 105 vina uwezo wa kuzalisha maji lita 90,000 kwa saa.???????? Muonekano wa jengo lenye genereta ya akiba ya kuzalisha umeme endapo umeme wa gridi unakatika
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DODOMA
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top