Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ZIONE AJALI MBAYA ZA PIKIPIKI ZILIZOWAHI KUTIKISA TAIFA



Dereva wa pikipiki ya abiria maarufu kama bodaboda Aliyepata  ajali mbaya na kuvunjika kabisa mguu wake wa kulia mara baada ya kugongwa na roli la mchanga katika eneo la daraja la Mkolani wilayani Nyamagana nje kidogo ya jiji la Mwanza Mwaka jana .Wito ni Madereva Kuwa makini na Kufuata sheria za Usalama barabarani
Hivi ndivyo mguu ulivyo vunjika baada ya kupata ajali.

kujikuta ameingia katika uvungu wake na hivyo kuanguka vibaya katika barabara ya Morogoro-Dodoma

 alivyojeruhiwa katika ajali  hiyo mbaya
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top