Picha hii si ya tukio lenyewe
Watu
wawili wamepoteza maisha, majeruhi 20 na wengine 9 hali zao mbaya
wamehamishwa hospitali na kupelekwa Bugando kutokana hali zao kuwa
mbaya na 10 wakiwa wamelazwa katika hospitali moja karibu na eneo la
tukio lilipo tokea baada ya basi la Mohammed Trans la Mwanza-Singida
kuacha njia na kupinduka eneo la Ukiliguru, Mwanza!
Post a Comment