Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ANGALIA PICHA WEZI WALIVYO FANYWA SINZA KUMEKUCHA

 

 
Wezi wakiwa chini wakila kichapo cha kimya kimya toka kwa wananchi. 

Mwizi akijitetea kuwa ni mpita njia jamani mimi ni mpita njia ‘’’’ tulia wewe tumewachoka alisikika sauti ya kike . 

huruma 
 

Pichani ni mmoja ya wezi akionesha kitu flani eneo la tukio leo sinza kume kucha. 
Jamaa waliwapa mapumziko kidogo wezi hao. 

Polisi wakiwachukua wezi hao baada ya kula kichapo na mateso kwa masaa mawili 

  

Wananchi wakipeana umbea kwa walio kuwepo na wasio kuwepo kila mtu anasema lake


Tukio hili limetokea leo majira ya saa kumi na mmoja asubui maeneo ya sinza kumekucha maarufu kwa jina la DR cool production. Wezi hao walitaka kubomoa duka bila mafanikio ndibo walipo kamamatwa na kujitaidi kukimbia uku wakijikuta wamesha kamatwa kutikana wingi wa watu walio kuwa wakiwai makazini mda huo kutokana kuwai usafiri , hadi tunatoka eneo la tukio wezi hao walipelekwa kituo cha polosi huku wakiwa wazima japo wamechapika mbaya
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top