Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWSSSSSSS ... HAYA HAPA MATOKEO YOTE YA AWALI YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE .... MGOMBEA WA CCM, RIDHIWAN KIKWETE AWABWAGA WENZAKE


RIDHIWANI KIKWETE

 Matokeo ya awali

Matokeo ya chalinze ya OFISI YA MTENDAJI KATA 01
AFP 00
CCM 55
CHADEMA 09
CUF 00
NRA 00

OFISI YA MTENDAJI KATA 2
CCM 59
CHADEMA 11
CUF 01
AFP 00
NRA 00


Matokeo ya awali lugoba sec kura 42 Zilizo pigwa CCM 37 CUF 0 CHADEMA 5 S/MSINGI LUGOBA 229 ccm 221 CHADEMA 0 CUF 8
Mindutulien ccm 44 chadema na CUF Wote 17
Mwambala 65 CUF 0 CHADEMA 6
Kinzagu 121 ccm. CUF 0 CHADEMA 3
Mpaka sasa 13-0
Kata ya MBWEWE
CCM 331
CHADEMA 72
CUF 14

KATA YA MPAJI
CCM 124
CDM 10
CUF 12

KATA YA KWAMTONGA
CCM 83
CDM 2
CUF 11
NRA 1
AFF 2
KATA KIBINDU
CCM 1313
CDM 300

KATA CHANGALIKWA
CCM 203
CDM 25
CUF 3

 Kata ya MBWEWE
CCM 331
CHADEMA 72
CUF 14
KATA YA MPAJI
CCM 124
CDM 10
CUF 12
KATA YA KWAMTONGA
CCM 83
CDM 2
CUF 11
NRA 1
AFF 2
KATA KIBINDU
CCM 1313
CDM 300
KATA CHANGALIKWA
CCM 203
CDM 25
CUF 3


 KATA YA TALAWANDA
CCM 1192
CDM 104
CUF 4
AFP 7
NRA 1


 
Kata ya Pera; Malivundo Ofisi ya Mtendaji; CCM 77, CHADEMA 2, CUF , AFP 1, NRA 1.
Kimbugi; CCM 11, CHADEMA 1, CUF 0, AFP 0, NRA 0
Magange Ofisi ya Kitongoji; CCM 101, CHADEMA 1, NRA 0, AFP 0
Pingo Shule ya Msingi Namba 1; CCM 31, CHADEMA 1, CUF 1, NRA 0, AFP 0 
Pingo Ofisi ya Kitongoji Namba 2; CCM 61, CHADEMA 4, CUF 2, AFP 1, NRA 0
Pingo Namba 1; CCM 66, CHADEMA 0, NRA 0, AFP 0



- Matokeo ya awali kwa baadhi ya vituo yanaonesha kuwa mgombea wa CCM Ridhiwani Kikwete anaongoza kwa kiasi kikubwa.
- Kazi ya kuhesabu kura katika Jimbo la Chalinze imeanza na matokeo yatatangazwa muda wowote kuanzia sasa.

- Baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja na CHADEMA wamelalamikia mwenendo wa uchaguzi wa ubunge Jimboni Chalinze.
- Rais Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wamejitokeza kupiga kura katika kituo cha shule ya Msingi Msoga kuchagua mbunge wa Chalinze.
- Wakazi wa jimbo la Chalinze wamejitokea kwa wingi kupiga kura kumchagua mbunge wao. Zoezi limemalizika kwa amani na utulivu.

 Wakati huo Kurugenzi ya Habari CHADEMA imeelezea HALI ILIVYOKUWA NA MATOKEO YA AWALI CHALINZE kama ifuatavyo:-
Uchaguzi wa mdogo wa Jimbo la Chalinze umefanyika huku ukigubikwa na kasoro kadhaa, ikiwa ni pamoja na watu wachache kujitokeza vituoni kupiga kura, wapiga kura kulalamika ‘kupokwa’ vitambulisho vyao, vituo kuwa majumbani kwa watu, huku pia kukiwa na hofu ya vurugu.
Kasoro hizo zilijidhihirisha jana wakati wapiga kura shughuli ya upigaji kura ilipokuwa ikiendelea katika maeneo mbalimbali ya jimbo hilo ambapo wananchi wa Chalinze walikuwa wakipiga kura mbunge wao, kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Said Bwanamdogo aliyefariki mapema mwaka huu.
Download Our App

3 comments

Hayo ndiyo matakwa ya wanachalinze, jipangeni kwa chaguzi zijazo

Reply

Hukawii kuskia chadema tumeibiwa kura zetu

Reply

Tatizo hawa jamaa wa CDM wanajimaliza kwa micharuko na mitusi. Eti wizi mtu! wakavue magwanda wavae kirai kama ni wapigania haki za raia

Reply

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top