Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Emmanuel Okwi azungumza kuhusu taarifa za kuondoka Yanga, hiki ndicho alichosema


OKWI
Siku kadhaa baada ya kutoka taarifa kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda anayekipiga klabu bingwa ya Tanzania bara Yanga, Emmanuel Okwi amegoma kuendelea kuichezea timu hiyo kutokana na kuidai timu hiyo, hatimaye leo hii kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Facebook Okwi amevunja ukimya na kuzungumzia suala hilo.
Hiki ndicho alichoandika leo
OKWI copy
 
Kwa mujibu wa Okwi sio kweli kwamba ameondoka Yanga, bali amepata majeraha ya goti yanayomfanya asiwepo kwenye kikosi cha Yanga. Amewashukuru mashabiki wa klabu hiyo kwa imani waliyonayo juu yake na kuahidi kurudi dimbani kuitumikia klabu hiyo atakapopona.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top