Rapper wa Manzese, Madee ambaye mwaka
jana ulikuwa mwaka wa neeema zaidi kwake katika biashara ya muziki,
hatimaye amemaliza ujenzi wa nyumba yake.
Madee ameaonesha picha ya nyumba yake kwa ndani ikiwa imekamilika na kuandika, “FINALLY. ..karibuni ikulu...#MBEZI# @babutale”
Post a Comment