Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

GARI NDOGO YATUMBUKIA MTARONI ENEO LA MIVINJENI, JIJINI DAR


Gari lenye namba za usajili T 894 BEN Toyota Corola lililokuwa likiendeshwa na mwanamama aliyekuwa na watoto wake wawili limepata ajali kwa kutumbukia kwenye mtaro eneo la Mivinjeni, Kurasini Dar es Salaam mchana huu Juni 24, 2014. Kwa mujibu waliowahi eneo la tukio walisema kuwa dereva wa gari hilo alichanganywa na lori na kujikuta emeburuzwa mtaroni. Katika ajali hiyo hakuna aliyekufa ila dereva alikuwa katika hali mbaya na amekimbizwa hospitali ya Polisi Baracks.
Mashuhuda wakiangalia ajali huku mmoja wa ndugu wa aliyepata ajali akiangalia gari kwa mshangao.
Credit Kajunason Blog
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top