Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

 


 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais wa China Li Yuanchao (kulia), leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, Makamu huyo wa Rais yupo nchini kwa ziara ya kikazi.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula (kulia) akisisitiza jambo wakati wa  mazungumzo yake na Makamu wa Rais wa China Li Yuanchao, leo jijini Dar es Salaam.
 Mangula akipa zawadi maalum ya ukumbusho, Makamu huyo wa Rais wa China baada ya mazungumzo yao leo jijini Dar es Salaam.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Makamu wa Rais wa China na ujumbe wao wakiwa wamesimama tayari kuondoka ukumbini baada ya mazungumzo yao leo jijini Dar es Salaam.
 Upande wa ujumbe wa CCM wakati wa mazungumzo hayo
 Ujumbe wa China kwenye mazungumzo hayo
Mwandishi wa habari wa siku nyingi na mchambuzi wa masuala ya siasa na Uchumi, Makwaia Kuhenga (kulia) akijadili jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali Vuai na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Abdallah Bulembo wakati wa mazungumzo ya Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara ) Philip Mangula na Makamu wa Rais wa China jijini Dar es Salaam, leo. Aliyeketi kushoto ni Mtaalamu wa ,masuala ya Sayansi ya Jamii, Profesa Max Mmuya. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog

 Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao(hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano .
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula mara baada ya kumaliza mkutano baina ya viongozi wawili.
 Balozi wa China Nchini Tanzania Lu Youqing akifafanua jambo wakati wa Semina ya Ujamaa iliyohusisha CCM na CPC kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akizungumza wakati wa Semina inayohusu Umuhimu wa Ujamaa na Kukua kwa Uchumi,wengine pichani(kushoto) ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Abdala Bulembo ,Mwakamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Mboni Mhita ,Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Sixtus Mapunda ,Profesa Max Muya ,na Makwaia wa Kuhenga.
 Mr Ma Zhongji kutoka Ubalozi wa China akisaidia kutafsiri wakati wa Semina ya Ujamaa iliyohusisha CCM na CPC iliyofanyika kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Maafisa kutoka CCM Makao Makuu wakifuatilia kwa makini Semina inayohusu Umuhimu wa Ujamaa katika Kukua kwa Uchumi iliyofanyika katika ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel Dar es Salam.
 Mheshimiwa Kingunge Ngombale Mwiru akizungumza na Waandishi wa Habari nje ya Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam  na kuwaeleza kuwa Watu wanajenga Ujamaa wenyewe haujengwi na Viongozi peke yao.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kukamilika kwa Semina inayohusu Ujamaa iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ambapo Mangula liwaeleza waandishi hao kuwa Ujamaa unatakiwa Ueleweke,Utekelezwe na Uendelezwe,Semina hiyo iliwahusisha vyama vya CCM na CPC kutoka China.
                                                    chanzo:haki ngowi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top