Askari
polisi wa kituo kikuu cha Polisi cha kati akiwa amemshikilia kijana
mmoja baada ya kumuokoa toka mikononi mwa madereva bodaboda ambao
walikwishaanza kujichukulia sheria mkononi kwa kumuadhibu baada ya
kutaka kuiba pikipiki.
Askari
katika ofisi ya kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro walilazimika
kufunga geti kuzuia kundi kubwa la madereva boda boda na watu wengine
wakilazimisha kuingia ili kumfuata mwizi wao wa pikipiki. Madereva hao walionekana kukerwa na kuzuiwa kumuadhibu kijana huyo na hapa walionekana wakilalamika.
Geti likafungwa na hakuna mtu aliyepita.
Post a Comment