Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NIGERIA YACHAPWA 3-2 NA ARGENTINA, LAKINI YAFUZU HATUA YA 16 KOMBE LA DUNIA

       Main man: Messi (right) put his side into a 1-0 with this strike after just three minutes

article-2669577-1F1F61DB00000578-837_634x363
Nyota: Lionel Messi (juu) aliifungia mabao mawili Argentina dhidi ya Nigeria.
 
TIMU ya Taifa ya Nigeria maarufu kama Super Eagles imefanikiwa kufuzu hatua ya 16 ya kombe la dunia licha ya kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Argentina.
Mshambuliaji hatari wa kikosi cha Alejandro Sabella, Lionel Messi amefunga mabao mawili katika dakika ya 3 na 45  katika ushindi uliowapa Argentina ushindi wa asilimia 100 katika kundi lao la F.
Bao la tatu la Argentina limefungwa na Marcos Rojo katika dakika ya 50.
Mabao mawili ya Nigeria yamefungwa na Ahmed Musa katika dakika ya 4 na 47.
Katika michuano ya mwaka huu, dhahiri, Argentina inamtegemea zaidi Messi katika mechi zake.
Baada ya kufunga mabao hayo, kocha Sabella alimpumzisha nyota huyu wa FC Barcelona kwa ajili ya mikikimikiki ya hatua ya 16.
Pia Sabella alishuhudia mshambuliaji wake, Sergio Kun Aguero akitolewa nje ya uwanja kwa kile kilichoonekana kupata maumivu ya misuli tena.
Main man: Messi (right) put his side into a 1-0 with this strike after just three minutes

Thank you: Messi points to the sky in celebration after his first goal of the game

 Asante mungu: Messi akinyosha vidole kama ishara ya kumshukuru mungu baada ya kufunga .
Hapa chini ni vikosi vya timu zote na viwango vya wachezaji. Alama ni chini ya 10.
Kikosi cha Argentina (4-3-3): Romero 7; Zabaleta 6, Federico Fernandez 5, Garay 5, Rojo 6; Gago 7, Mascherano 6, Di Maria 8; Messi 9 (Alvarez 19 6), Higuain 6 (Biglia 90 6), Aguero 6 (Lavezzi 37 7).


Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Orion, Campagnaro, Perez, Maxi Rodriguez, Augusto Fernandez, Demichelis, Palacio, Basanta, Andujar.
Wafungaji wa bao: Messi 3, 45′, Rojo 50′
Kocha: A Sabella 6
Kikosi cha Nigeria (4-5-1): Enyeama 7; Ambrose 6, Yobo 6, Oshaniwa 5, Omeruo 6; Odemwingie 6 (Nwofor 80 6), Onazi 6, Mikel 6, Babatunde 7 (Uchebo 66 6), Musa 8; Emenike 7.


Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Ejide, Uzoenyi, Gabriel, Egwuekwe, Odunlami, Oboabona, Azeez, Ameobi, Agbim.
Mchezaji bora wa mechi: Messi
Kocha: S Keshi 7
Kadi ya njano: Omeruo, Oshaniwa


Mfungaji wa mabao: Musa 4′, 47′

Mwamuzi: Nicola Rizzoli
*Viwango vya wachezaji na MATT LAWTON katika uwanja Porto Alegre
Jubilant: Messi (left), Di Maria (centre) and Marcos Rojo celebrate the opening goal

Double: Ahmed Musa (left) grabbed his first World Cup brace to give Nigeria hope

  Ahmed Musa (kushoto) alifunga mabao mawili katika mchezo wa leo.
Happy family: Musa ran towards the bench to enjoy his second goal with his team-mates

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top