Baada ya kumaliza shughuli hii huku akiwa kama producer wa The Mboni
Show mauti yalimkuta majira ya saa 12 jioni ikiwa ni saa 4 tu toka
tuanze safari ya kurudi Dar es Salaam maeneo fulani hivi kama unataka
kukaribia GAIRO mjini.
Kwenye gari walikuwa watu 8 ila yeye pekee ndio aliyepoteza maisha
ila wengine wamepata majeraha mwilini akiwemo dereva wa gari hilo ambapo
kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa hapa Morogoro katika hospital
ya mkoa Morogoro baadae asubuhi safari ya kurudi Dar es Salaam itaanza.
PICHA/HABARI KWA HISANI YA DJ CHOKA
Post a Comment