Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana kwa furaha na na Rais mpya wa Misri
Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya
Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye mazungumzo na Rais mpya wa Misri
Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya
Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014.Picha na IKULU
Post a Comment