Rais
Jakaya Mrisho Kikwete katika Mkutano wa Kamati ya Viongozi wa Afrika
Kuhusu Tabia Nchi ulioitishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mhe
Ban Ki-moon pembeni mwa mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika mjini
Malabo, Equatorial Guinea leo Juni 27, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Katibu
Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mhe Ban Ki-moon pembeni mwa mkutano wa kawaida
wa Umoja wa Afrika mjini Malabo, Equatorial Guinea leo Juni 27, 2014.
PICHA NA IKULU
Post a Comment