Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DIAMOND PLATNUMZ ATINGA NDANI YA STUDIO ZA GENN ONLINE RADIO

Mashabiki wa Diamond Platnumz wakipata nae picha ya pamoja na Rais huyo wa Wasafi alipokuwa akiwasili kwenye mji wa Olathe jimbo la Kansas ilipo Radio hiyo ya GENN kwa mahajiano kabla ya show yake inayotarajiwa kufanyika muda si mrefu katika anuani ya 8625 Troost Ave, Kansas City, Missouri.
Mtangazaji wa GENN Radio AJ (mwenye kofia nyeusi wapili toka kulia) akimfanyia mahojiano Diamond Platnumz ndani ya Studio ya Radio hiyo ambayo inapatikana mtandaoni www.gennmedia.com wengine ni Dj Romy Jons Poromota DMK na Dj Bston (kulia) 
Dj Boston na AJ wakimsikiliza Diamond Platnumz wakati ajibu moja ya maswali waliyomuuliza.
Mashabiki wakiwa ndani ya studio za GENN Radio wakimsikiliza Rais wa Wasafi akijibu maswali aliyokuwa akiulizwa na AJ.
Diamond Platnumz akiendelea kujibu maswali aliyokuwa akiulizwa na AJ huku Dj Romy Jons akifuatilia kwa makini maswali na majibu yaliyokua yakiulizwa AJ na kujibiwa na Diamond Platnumz.
Diamond Platnumz akijibu moja ya maswali kutoka kwa A
Mahojiano yakiendelea Studio za GENN Radio.
Baada ya mahojiano mashabiki nao hawakua nyuma kupata ukodak na prezda wa wasafi ndani ya studi za GENN Radio.
Patrick Joseph wa Wichita akipata picha na Diamond Paltnumz akiwa pamoja na Dj Romy Jones.
Monica Mambo, Neema Mambo na Evelyn Ndungu nao wakipata picha ya pamoja na Diamond Platnumz pamoja na Dj Romy Jons.
Na Mwandishi wetu Kansas.

Diamond Platnumz leo siku ya Jumapili July 6, 2014 alitia timu ndani ya studio za GENN Radio iliyopo mji unaoitwa Olathe uliopo ndani ya Jimbo la Kansas na hii ilikuwa ni baada ya kufanya sound check mida ya saa tisa alasili kwa saa za kati zinazoumia na miji iliyopo magharibi ya kati nchini Marekani  ndani ya Jiji la Kansas jimbo la Missouri uliopo mwendo wa nusu saa toka mji huo wa Olathe ambao wenyewe upo jimbo la Kansas.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top