Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DIEGO COSTA HUYOOOO DARAJANI


Chelsea wamethibitisha kumsajili rasmi Diego Costa baada ya kufikia makubaliano na Atletico Madrid.
Chelsea ilitaka kukamilisha usajili huo kabla ya
Kombe la Dunia kwa pauni milioni 32. Jambo hilo halikufanikiwa lakini sasa mkataba umefikiwa. Taarifa iliyotolewa imesema: "Chelsea inathibitisha kufikia makubaliano na Atletico Madrid kwa ajili ya uhamisho wa Diego Costa".
Chelsea walikuwa wamekubali kulipa ada ya uhamisho na Diego Costa mwenyewe aliwaambia Atletico hamu yake ya kuondoka, lakini mkataba ulikuwa mgumu kufikiwa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top