Hii ni list ya wachezaji matajiri zaidi duniania mabao wapo kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kombe la dunia kule nchini bazili
10. Gianluigi Buffon timu yake ya taifa ni Italy anautajiri wa dola za kimarekani $50 million
9. Fernando Torres anaichezea Spain anautajiri wa dola za kimarekani $50 million
8. Steven Gerrard ni kiungo wa England ana utajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $55 million
7. Frank Lampard anaichezea timu ya England anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $60 million
6. Yaya Toure timu yake ya taifa ni Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani $70 million
5. Samuel Eto’o timu yake ya taifa ni Cameroon ana utajiri wa dola za kimarekani $75 million
4. Didier Drogba anaichezea Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani $90 million
3. Wayne Rooney anaichezea England akiwa na utajiri wa dola za kimarekani $95 million
2. Lionel Messi timu yake ya taifa ni Argentina anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $180 million
1. Cristiano Ronaldo timu yake ya taifa ni Portugal — anautajiri wa dola za kimarekani $230 Million
Post a Comment