WALIOKUWA WANAJIULIZA KWANINI DIAMOND HAKUPANDA JUKWAANI DAVIDO
ALIPOPATA TUZO YA BET??....JIBU HILI HAPA... Kuhusu kwanini Diamond
hakupanda jukwaani
baada ya Davido kushinda tuzo ya BET na
kuwaomba nominees wenzake wa kipengele cha
‘Best
Insternational Act: Africa’ ambacho Diamond
alikuwa akiwania pia, wapande nae jukwaani, Tale
ametoa sababu:
“Zile Tuzo zinarekodiwa before, diamond alikuwa
anajua zile tuzo zinakwenda Live, sababu wote
hawakuwa wameambiwa zinakwenda live au
zinarekodiwa, wote wamelala kwenye hotel moja LA.
Wakati wao wanamgongea Davido chumbani kwake
alikuwa yuko tayari, Diamond alikuwa anajiandaa
jioni ndo anakwenda kwenye hiyo show ya BET.
Mwisho wa siku kwasababu wale walikuwa
wanaenda na ratiba wakaona tutachelewa….hakujua
kama inarekodiwa na wala hakujua kama Davido
amechukua tuzo mpaka mimi ndio niliyemwambia”
Loading...
Home » Unlabelled » DIAMOND THE PLATNUMZ ATOA SABABU ZA YEYE ZA KWANIN HAKUPANDA JUKWAANI KWENYE TUZO ZA BET AWARDS BAADA YA DAVIDO KUWAITA
Post a Comment