Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

LADY JAY DEE : BAADA YA KUSHINDA TUZO YA AFRIMA AFUNGUKA LIVE

IJUE JUMLA YA IDADI YA TUZO ALIZOZIPATA LADY JAYDEE MPAKA SASA__TEAM UKWANZA SOMA HAPAMwanadada Lady Jaydee alimaharufu kama Binti Machozi wa TEAM ANACONDA, leo ameweka wazi kua tangu alipo anza mziki mpaka sasa baada ya kupata tuzo ya mwanamziki bora wa kike wa Afrika Mashariki ya Afrimma iliyofanyika nchini marekani kua ndo tuzo ambayo mpaka sasa imekamilisha idadi ya jumla ya tuzo thelathini (30) ambazo amezipokea mpaka sasa.
Hili kaweka wazi leo katika ukurasa wake wa facebook. TEAM UKWANZA inapeleka hongera zake kwa mwanadada Lady Jaydee

(Commando) kwa mafanikio makubwa aliyoyapata kutokana na hii tasnia ya muziki, Hongera sana LADY JAYDEE.Picha aliyoweka leo na ujumbe wake

Tuzo yangu ya 30. Asanteni kwa ushirikiano, nimeipokea na ninarudi nayo nyumbani. Shhhhhh! !!! Kimya Kimya
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top