Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MBUNGE WA LUDEWA - CCM DEO FILIKUNJOMBE AWAHAKIKISHIA UMEME KABLA YA KRISMASI WANANCHI WA LUPINGU

  Mbunge  wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akimsikiliza kwa makini mwakilishi wa meneja wa TANESCO mkoa wa Iringa ambae  pia ni mhadisi wa mipango mkoa wa Iringa Bw Christopher Nguma wakati akieleza kuanza kwa mradi  huo jumatatu

 Mbunge  wa jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe  akisisitiza jambo  wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Lupingu juu ya kuanza kwa mradi wa umeme kata ya Lupingu ,huku  viongozi hao wakiwa  wamenyosha vidole  juu kuukubali mradi  huo.
  Viongozi wa serikali ya  kijiji cha Nindi  kata ya Lupingu wakifurahia ujio wa umeme katani kwao Lupingu
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top