Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo
Filikunjombe kushoto akimsikiliza kwa makini mwakilishi wa meneja wa
TANESCO mkoa wa Iringa ambae pia ni mhadisi wa mipango mkoa wa Iringa
Bw Christopher Nguma wakati akieleza kuanza kwa mradi huo jumatatu
Mbunge
wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akisisitiza jambo wakati
akizungumza na wakazi wa kata ya Lupingu juu ya kuanza kwa mradi wa
umeme kata ya Lupingu ,huku viongozi hao wakiwa wamenyosha vidole juu
kuukubali mradi huo.
Viongozi wa serikali ya kijiji cha Nindi kata ya Lupingu wakifurahia ujio wa umeme katani kwao Lupingu
Post a Comment