BENKI
Kuu ya Tanzania (BoT) imesema sababu ya noti ya sh. 500 kuchakaa
mapema ni kutokana na kutumika na watu wengi wasio na mzunguko wa huduma
za kibenki.
Akizungumza
katika Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam
(Sabasaba), Ofisa wa BoT, Abdul Dollah, alisema noti zote zinatengenezwa
kwa malighafi ya aina moja, lakini kinachotokea ni noti ya sh. 500
kutumika kupita kiasi.
alisema.
Aliwataka wale wenye noti zilichokaa kuzirudisha BoT, ili wapatiwe noti mpya.
Post a Comment