Makamu
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mkuu mstaafu wa Zanzibar
Hamid Mahmoud Hamid akizungumza mjini Babati na waandishi wa habari wa
Mkoa wa Manyara(hawapo pichani) , juu ya maandalizi ya uboreshaji wa
daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya Biometric
Voter Registration (BVR) unatarajia kuanza mwezi Septemba mwaka
huu (kushoto) ni Mkurugenzi wa sera na mipango wa Tume hiyo Eugenia
Mpanduji na kulia ni Mkurugenzi wa Mji wa Babati Bw. Omary Mkombole.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Eugenia Mpanduji akizungumza
mjini Babati na waandishi wa habari wa Mkoa wa Manyara, juu ya
maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia
teknolojia ya Biometric Voter Registration (BVR) unatarajia kuanza
mwezi Septemba mwaka huu (kulia) ni Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji
Mkuu mstaafu wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid.
Post a Comment