Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akisalimiana na Askari Wanyama Pori jijini Arusha leo.
Waziri
wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu(wa pili kulia) akiwa katika
picha ya pamoja na watumishi wa Idara ya Uwindaji wa Kitalii,Cites na
Utalii wa Picha Kanda ya Kaskazini.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akifurahia Keki iliyoandaliwa katika Chuo cha Taifa cha Utalii Arusha.
Waziri
wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu(wa nne kutoka kushoto) akiwa
katika picha ya pamoja na watumishi wa Chuo cha Taifa cha Utalii
kilichopo Sakina jijini Arusha na Idara ya Uwindaji wa Kitalii,Cites na
Utalii wa Picha Kanda ya Kaskazini.
Post a Comment